This is about us

Dr mlelwa Lectures 

Ni darasa la kimtandao lililo anza mnamo mwaka 2020 na Mtumishi Helbeth Mlelwa( Dr Mlelwa) na kuungana na Eng Anold Amri mwaka huo huo


Kwa mawasiliano:-

Dr mlelwa official: 0745965125 au 0714483548

Eng Anold amri :0693662424


Dr Mlelwa amekuwa mwanafunzi chuo kikuu cha MUHAS na alikuwa Tanzania One (TO) katika somo la biology mwaka 2018 na baadaye akaja 

na wazo hili la kuanza kufunsha wanafunzi wengi zaidi kwa njia ya mtandao hata wale walio mbali naye.


Eng Anold Amri ni mwanafunzi wa MUST(Mbeya university of science and technology) akisoma kozi ya BACHEROL IN COMPUTER ENGINEERING 

na ndiye aliye tengeneza hii website na kuhakikisha inawasaidia na kuwanufahisha watanzania.


Sisi tumejipanga kuhakikisha wanafunzi wote tanzania wanakuwa na wepesi katika safari yao ya masomo lakini pia tunatoa fulsa kwa 

watu walio na ujuzi mwingine kuuza katika tovuti hii ili wanafunzi pia wawe na ujuzi nje na masomo wanayosoma utakao wasaidia wao

kujipatia kipato baada ya kujifunza ujuzi huo pia itasaidia kutatua matatizo katika jamii wanazoishi.


Malengo yetu ni kuja kuwa na wanafuzi zaidi ya elfu 50 wnaotumia website yetu ili kuinua ufaulu wa wanafunzi na kutatua changamoto 

ya mwanafunzi kushindwa kufaulu kwa sababu ya kukosa mwalimu shuleni kwao, ndio maana bei ya vipindi vyetu ni bei inayoweza kulipwa na 

kila mtanzania.


Tumejipanga kuhakikisha kuwa kila mwalimu atakaye fundisha ujuzi wowote kupitia website hii basi atoe ujuzi huo katika ubora na usahihi

ili kujenga taifa lenye wasomi  tija katika jamii na familia zetu.


Mwisho ni kwamba sisi dr Mlelwa tunaamini katika Mungu yaani tunaamini BIBILI NA KURUANI takatifu ni vitabu vya Mungu na vinahimiza wema 

na utu kwa watu wote, hivyo tunaamini katika vitabu hivi tu na kufanya ibada, swala na kuomba Mungu siku zote hatuamini katika matusi,

elevi, uzinzi na wizi kama tunavyo amliwa katika vitabu hivyo vitakatifu.