Tutajifunza kufoji data za swali la kwanza kwenye mtihani wa form 6 physics paper 3.
Maswali, njia zote, jinsi ya ufanyaji wa haya maswali na umakini wa kuzingatia umeelezewa katika vipindi hivi.
Mimi ni mwanafunzi katika chuo kikuu cha MUST (Mbeya University Of Science And Technology), Ninasoma kozi ya Computer Engineering ngazi ya Degree. Mimi pia ni mbunifu wa mifumo ya kitehema kama vile www.drmlelwa.co.tz | www.webusiness.co.tz | www.sokoni.shop pia ipo mifumo ya hardware kama vile we-receiver, we-mixer na alama ya damu automation system na yote hii inafanya kazi na kutumiwa na watu. MOSTLY I LOVE GOD AND THE GOSPLE OF GOD
Website developer Graphics Designer System adminstrator Physics Mathematics Electrical and electronics Sound Engineer
Write a public review