Published - Fri, 16 Sep 2022
Call for Application
The Ministry of Education, Science and Technology is pleased to announce that the Ministry of Higher Education and Scientific Research of the Arab Republic of Egypt is offering undergraduate and postgraduate scholarships at the top Egyptian Universities for suitable Tanzanian students in various domains for the academic year 2022/2023.
Eligibility
To be eligible for admission, applicants must fulfill the following conditions:
List of required documents
Mode of application and submission
Nota Bene:
The Government of the United Republic of Tanzania will not provide a loan or grant for candidates who will be offered this scholarship.
Issued by:
Mimi ni mwanafunzi katika chuo kikuu cha MUST (Mbeya University Of Science And Technology), Ninasoma kozi ya Computer Engineering ngazi ya Degree. Mimi pia ni mbunifu wa mifumo ya kitehema kama vile www.drmlelwa.co.tz | www.webusiness.co.tz | www.sokoni.shop pia ipo mifumo ya hardware kama vile we-receiver, we-mixer na alama ya damu automation system na yote hii inafanya kazi na kutumiwa na watu. MOSTLY I LOVE GOD AND THE GOSPLE OF GOD
Safari yangu ya kielimu ilianza katika shule ya Msingi ya Ikulu iliyopo Ilomba jijini Mbeya, nilipomaliza nikaingia secondary katika shule ya Sekondari Pandahill Sec(2022 -2016), nikamalizia elimu yangu ya sekondari shule ya Jifunzeni sec iliyopo Hitua Mbeya(2017).
2018 nikaokoka(kanisa la KIKOSI KAZI CHA INJILI) na baada ya hapo nikaenda Morogoro na huu ndio ulikuwa mwanzo wa mabadiloko katika maisha yangu baada tu ya kuokoka nikapata akili kubwa mno sijawai ipata. 2020 nikiwa Kwiro Boys - PCM nikamaliza.
2020 Tukaanza kufundisha mimi na kaka yangu kupitia youtube BURE kabisa kama tulivyofundishwa ibadani. 2021 tulianza kuwatoza watu gharama kidogo ili tusilemewe.
Pia 2020 december nikaingia Must nikakutana watu wengine ujuzi nilionao ukaongezeka zaidi na 2022 nikaja na wazo hili la kutatua changamoto za kupata na kuuza ujuzi kwa njia ya Mtandao.
Dr Mlelwa litakuwa suruhisho la changamoto nyingi sana Tanzania kama watu watataka kuvuka katika changam,oto hizo.
Mungu awabariki wote
Mon, 02 Dec 2024
Sat, 07 Jan 2023
Thu, 01 Dec 2022
Write a public review